madereva waandamana jomvu,kuulaani msongamano wa matrela
Wakaazi wa Jomvu na wafanya biashara wanalalamikia msongamano wa malori Unao shuhudiwa kwenye barabara ya Madafuni na Jomvu mikanjuni. Wakizungumza na wanahabari wamedai kwamba barabara hiyo huwa na msongamano mkubwa ambao hutatiza watoto wa shule na wale wanao kimbuzwa kwenye hospitali ilioko katika eneo hilo. Wameomba uongozi uliopo katika eneo hilo kujitahidi na kuona kwamba […]
madereva waandamana jomvu,kuulaani msongamano wa matrela Read More »
