Author name: admin

madereva waandamana jomvu,kuulaani msongamano wa matrela

Wakaazi wa Jomvu na wafanya biashara wanalalamikia msongamano wa malori Unao shuhudiwa kwenye barabara ya Madafuni na Jomvu mikanjuni. Wakizungumza na wanahabari wamedai kwamba barabara hiyo huwa na msongamano mkubwa ambao hutatiza watoto wa shule na wale wanao kimbuzwa kwenye hospitali ilioko katika eneo hilo. Wameomba uongozi uliopo katika eneo hilo kujitahidi na kuona kwamba […]

madereva waandamana jomvu,kuulaani msongamano wa matrela Read More »

No Child left behind asema Gavana wa Mombasa

Gavana wa Mombasa, Abdulswamad Shariff Nassir, ameendeleza juhudi za kuhakikisha watoto kutoka familia zisizojiweza wanapata elimu bila vikwazo kwa kulipia ada za shule kwa wanafunzi kadhaa. Katika hotuba yake, Gavana Abdulswamad alisisitiza kuwa hakuna mtoto anapaswa kukatizwa masomo kwa sababu ya ukosefu wa ada. Aliongeza kuwa serikali ya kaunti itaendelea kusaidia wanafunzi wanaohitaji msaada ili

No Child left behind asema Gavana wa Mombasa Read More »

“Coca-Cola Launches ‘Funua Flava’ Cash Bonanza IN MOMBASA”

Coca-Cola has officially launched a customer reward campaign known as Funua Flava Pata Mita in Mombasa city. As part of this campaign, customers will have the opportunity to win one million shillings every week. Speaking at the launch event held at the Mama Ngina Waterfront in Mombasa, Ruth Mwake, a sales officer at the company, stated

“Coca-Cola Launches ‘Funua Flava’ Cash Bonanza IN MOMBASA” Read More »

Youths Urged to Train as Lifeguards to Help Prevent Drownings

Local leaders and safety experts are calling on young people to take up lifeguard training as a proactive step to reduce cases of drowning along the Coast. With rising numbers of beachgoers and swimmers, especially during holidays and weekends, the need for skilled lifesavers has never been more urgent. By equipping youths with basic lifesaving

Youths Urged to Train as Lifeguards to Help Prevent Drownings Read More »

Wezi wa Simu Wakamatwa Mombasa Katika Msako Mkali

Polisi wamefanikiwa kuwakamata washukiwa kadhaa wa wizi wa simu za rununu katika msako maalum uliofanyika katikati mwa jiji la Mombasa. Washukiwa hao walinaswa baada ya malalamiko kutoka kwa wakazi walioporwa simu zao katika maeneo ya biashara yenye msongamano mkubwa. Polisi wanasema simu kadhaa zilizoripotiwa kuibiwa zimepatikana na zinarejeshwa kwa wamiliki wake halali.

Wezi wa Simu Wakamatwa Mombasa Katika Msako Mkali Read More »

Over 3,000 Mombasa Residents Receive National IDs in Landmark Initiative

More than 3,000 residents of Mombasa received their long-awaited National Identity Cards at Treasury Square in a major milestone achieved through a successful partnership between the National Government and the Sharrif Nassir Foundation. This large-scale ID distribution marks a significant step forward for thousands of citizens who can now fully access essential services and opportunities.

Over 3,000 Mombasa Residents Receive National IDs in Landmark Initiative Read More »