Author name: admin

Bio Tank Africa to Tackle Sanitation Challenges in Nakuru County

Biotank Africa opens a branch in Nakuru County , Shayona Business Centre, unveiling of a refreshed brand identity and the rollout of the Kuwa Mbele Campaign, the company’s platform for community education and trade partnerships across the region. Led by Dr.Nelson Maara, County Executive Committee Member for Water, Environment, Climate Change and Natural Resources, he […]

Bio Tank Africa to Tackle Sanitation Challenges in Nakuru County Read More »

Maelfu Wanufaika na Huduma Mashinani Uwanja wa Tononoka Mombasa

Maelfu ya wakaazi wa Mombasa wamejitokeza katika uwanja wa Tononoka kunufaika na huduma mashinani zilizoandaliwa na Wakfu wa Lulu la Jamii kwa ushirikiano na Huduma Center, wakieleza kuridhishwa na hatua hiyo kwani imepunguza muda na gharama za kupata huduma kama vyeti vya kuzaliwa, vitambulisho, good conduct na huduma za afya. Mwanzilishi wa wakfu huo, Lulu

Maelfu Wanufaika na Huduma Mashinani Uwanja wa Tononoka Mombasa Read More »

Mahakama Yaeleza Mamlaka ya Majaji, Wakaazi Walalamikia Dhulma Dhidi ya Watoto Mariakani

Idara ya mahakama imesisitiza kuwa sheria inawapa majaji mamlaka ya kutoa uamuzi mbadala tofauti na adhabu zilizopendekezwa kisheria, huku hakimu mkuu wa mahakama ya Mariakani Kimani Mburu akieleza kuwa kutoeleweka huku kumesababisha wananchi kushangaa hukumu nyepesi au dhamana kwa baadhi ya washukiwa, na akawahimiza wakaazi kutembelea mahakama kupata ufafanuzi wa kisheria. wakati huo huo wakaazi

Mahakama Yaeleza Mamlaka ya Majaji, Wakaazi Walalamikia Dhulma Dhidi ya Watoto Mariakani Read More »

Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii Jomvu Watarajiwa Kuimarisha Uchumi na Utalii

Shughuli za kiuchumi na utalii zinatarajiwa kuimarika kufuatia ujenzi wa hoteli ya kitalii katika eneo la Jomvu Ganahola na shirika la kijamii la Bigship. Mbunge wa Jomvu, Badi Twalib,akizungumza alipozuru eneo hilo amesema atahakikisha eneo hilo linapata barabara bora huku akibainisha kuwa hoteli hiyo itaongeza ajira, kuimarisha uvuvi na kuinua uchumi wa eneo hilo.

Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii Jomvu Watarajiwa Kuimarisha Uchumi na Utalii Read More »