WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE RABAI CHAO KIMOTONI
Wazazi watakaokiuka agizo la Rais la kuwapeleka watoto wao kujiunga na shule za sekondari za juu katika eneo la Rabai huenda wakashtakiwa kwa kosa la kutelekeza watoto. Kwa mujibu wa Chifu wa Rabai, Anthony Jao, tayari amewaagiza manaibu chifu pamoja na wazee wa mtaa kuorodhesha wazazi ambao watoto wao hawajajiunga na kidato cha kwanza baada […]
WAZAZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE RABAI CHAO KIMOTONI Read More »
