barabara ya Jomvu–Nairobi huku mradi wa umeme kuanza katika kijiji cha Chiroroma
barabara ya Jomvu–Nairobi huku mradi wa umeme kuanza katika kijiji cha Chiroroma Read More »
Wakaazi wa eneo la Jomvu, Kaunti ya Mombasa, wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kama wapiga kura kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2027.Akizungumza baada ya kukutana na jamii ya Wasomali mapema leo, Mbunge wa Jomvu, Badi Twalib, amesema yuko tayari kuwasilisha ombi kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ili kufanikisha zoezi la
WAJOMVU WAHIMIZWA KUKATA KURA KWA WINGI Read More »
Maelfu ya wakaazi wa Mombasa wamejitokeza katika uwanja wa Tononoka kunufaika na huduma mashinani zilizoandaliwa na Wakfu wa Lulu la Jamii kwa ushirikiano na Huduma Center, wakieleza kuridhishwa na hatua hiyo kwani imepunguza muda na gharama za kupata huduma kama vyeti vya kuzaliwa, vitambulisho, good conduct na huduma za afya. Mwanzilishi wa wakfu huo, Lulu
Maelfu Wanufaika na Huduma Mashinani Uwanja wa Tononoka Mombasa Read More »
Idara ya mahakama imesisitiza kuwa sheria inawapa majaji mamlaka ya kutoa uamuzi mbadala tofauti na adhabu zilizopendekezwa kisheria, huku hakimu mkuu wa mahakama ya Mariakani Kimani Mburu akieleza kuwa kutoeleweka huku kumesababisha wananchi kushangaa hukumu nyepesi au dhamana kwa baadhi ya washukiwa, na akawahimiza wakaazi kutembelea mahakama kupata ufafanuzi wa kisheria. wakati huo huo wakaazi
Mahakama Yaeleza Mamlaka ya Majaji, Wakaazi Walalamikia Dhulma Dhidi ya Watoto Mariakani Read More »
Wakaazi wa Jomvu na wafanya biashara wanalalamikia msongamano wa malori Unao shuhudiwa kwenye barabara ya Madafuni na Jomvu mikanjuni. Wakizungumza na wanahabari wamedai kwamba barabara hiyo huwa na msongamano mkubwa ambao hutatiza watoto wa shule na wale wanao kimbuzwa kwenye hospitali ilioko katika eneo hilo. Wameomba uongozi uliopo katika eneo hilo kujitahidi na kuona kwamba
madereva waandamana jomvu,kuulaani msongamano wa matrela Read More »
WAHUBIRI NA MAPASTA KUTOKA MAKANISA MBALI MBALI JIJINI MOMBASA WAMEFANYA KIKAO NA GAVANA ABDULSWAMAD SHARIFF NASSIR AMBAPO WAMEJADILI MASWALA MBALI MBALI YANAYOWAKABILI.KIKAO HICHO KIMEFANYIKA ENEO LA KIEMBENI.
WAHUBIRI WAKUTANA NA GAVANA WA mOMBASA ABDULSWAMAD Read More »
Gavana wa Mombasa, Abdulswamad Shariff Nassir, ameendeleza juhudi za kuhakikisha watoto kutoka familia zisizojiweza wanapata elimu bila vikwazo kwa kulipia ada za shule kwa wanafunzi kadhaa. Katika hotuba yake, Gavana Abdulswamad alisisitiza kuwa hakuna mtoto anapaswa kukatizwa masomo kwa sababu ya ukosefu wa ada. Aliongeza kuwa serikali ya kaunti itaendelea kusaidia wanafunzi wanaohitaji msaada ili
No Child left behind asema Gavana wa Mombasa Read More »
Coca-Cola has officially launched a customer reward campaign known as Funua Flava Pata Mita in Mombasa city. As part of this campaign, customers will have the opportunity to win one million shillings every week. Speaking at the launch event held at the Mama Ngina Waterfront in Mombasa, Ruth Mwake, a sales officer at the company, stated
“Coca-Cola Launches ‘Funua Flava’ Cash Bonanza IN MOMBASA” Read More »
Local leaders and safety experts are calling on young people to take up lifeguard training as a proactive step to reduce cases of drowning along the Coast. With rising numbers of beachgoers and swimmers, especially during holidays and weekends, the need for skilled lifesavers has never been more urgent. By equipping youths with basic lifesaving
Youths Urged to Train as Lifeguards to Help Prevent Drownings Read More »