Author name: admin

mombasa leaders in mikindani for the launch of the newly constructed sewage treatment plant

Senator Mohammed Faki of Mombasa County joined Mining, Blue Economy, and Maritime Affairs Cabinet Secretary Hassan Joho today to launch the Mikindani Wetland Sewage Treatment Plant, a significant step toward reducing sewage pollution in the region. The project, supported by the European Union and the United Nations Environment Programme (UNEP) through the Kenya Marine and […]

mombasa leaders in mikindani for the launch of the newly constructed sewage treatment plant Read More »

Tragedy in Miritini: Eight Dead, Including Infant, After Wall Collapse During Burial

Mombasa, Kenya – By Athman Luchi Residents helping in rescuing .Photo Courtesy : Amina Abdalla rescue team Eight people, including an infant, tragically lost their lives on Monday afternoon when a wall collapsed during a burial ceremony in Miritini, Mombasa. Several others ustained injuries and were rushed to local hospitals for urgent treatment.Several others sustained

Tragedy in Miritini: Eight Dead, Including Infant, After Wall Collapse During Burial Read More »

Wanafunzi Buhigwe, Kigoma kupata mbinu za kisasa za kilimo na ufugaji

Kabla ya mradi huu kuja walimu shuleni pamoja na wanafunzi walikuwa wanalima kwa mbinu zao za kawaida za asili ikiwemo kuweka mbolea, lakini unakuta hata kuvuna walikuwa hawavuni kama inavyopaswa, ni kauli ya mnufaika wa mafunzo ya kilimo bora shuleni yaliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO nchini Tanzania. Emile

Wanafunzi Buhigwe, Kigoma kupata mbinu za kisasa za kilimo na ufugaji Read More »

Zamani nilisomewa hata ujumbe kutoka kwa mume wangu! Asante WFP

Nilikuwa nikipokea barua naomba mtu anisomee, sasa nasoma mwenyewe, lakini naomba WFP ituendeleze zaidi niweze hata kuandika barua ya kuomba kazi. Ni Espérance Bialogire, mkimbizi aliyenufaika na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP wa kusongesha usawa wa kijinsia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hasa eneo la

Zamani nilisomewa hata ujumbe kutoka kwa mume wangu! Asante WFP Read More »

Tunafikisha TEHAMA maeneo ya vijijini

Hivi karibuni hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Anold Kayanda alipata wasaa wa kuzungumza na Gloria Anderson Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shirika la TEDI yaani Tanzania Enlightment and Development Innovation, Shirika lisilo la kiserikali kutoka Tanzania linalojishughulisha na miradi ya maendeleo ya elimu na vijana hasa katika kuboresha mifumo

Tunafikisha TEHAMA maeneo ya vijijini Read More »

RTNC: MONUSCO imetuondoa mtaani, asema mkuu wa RTNC Beni, DRC

Umoja wa Mataifa unaendelea kuunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC katika kukabili habari potofu na za uongo hususan huko mashariki mwa nchi ambako vikundi vilivyojihami vinaendelea kushambulia raia na kupambana na jeshi la serikali. Hivi karibuni Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, umeipatia kituo cha

RTNC: MONUSCO imetuondoa mtaani, asema mkuu wa RTNC Beni, DRC Read More »