Mwanga wa Kilele|Habari za Mchana|Kilele Radio
Kenya yavunja rekodi ya Guinness kwa kupanda mikoko 4,124 | Afisa wa DCI ajeruhiwa katika shambulizi Lamu | Daraja la Marere laharibika, tahadhari yatolewa | Watu 11 wakamatwa kwa mbolea…
Taharuki Lamu-Afisa wa DCI avamiwa
By:Farida Ali Hali ya taharuki ilitanda katika Kisiwa cha Lamu, Kaunti ya Lamu, baada ya afisa mmoja wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kujeruhiwa na kijana. Tukio…
Ukosefu wa fedha watatiza maendeleo ya KD United
By:Gloria Mwagambo Wito umetolewa kwa Serikali ya Kaunti ya Kilifi pamoja na wadau wa michezo na wahisani kujitokeza kusaidia kikundi cha vijana cha KD United kinachoshiriki mchezo wa mpira wa…
MORE SUSPECTS ARRESTED IN COUNTERFEIT FERTILISER CRACKDOWN IN UASIN GISHU
By:Robert Mutasi The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has made a major breakthrough in the ongoing crackdown on a suspected counterfeit fertiliser syndicate, arresting more suspects and recovering thousands of…
Rashid Abdallah Super Cup yavutia maelfu Kwale
By:Hassan Pojjo Mashindano ya soka ya Rashid Abdallah Super Cup yanaendelea kushika kasi katika Kaunti ya Kwale huku makala yake ya saba yakivutia maelfu ya mashabiki kutokana na ushindani mkali…
Daraja la Marere laharibika Kwale
By:Hassan Pojjo Watumiaji wa Barabara ya Kinango–Kwale wametakiwa kuwa waangalifu kufuatia kuharibika kwa sehemu ya Daraja la Marere (Manolo), hali ambayo imeibua wasiwasi kuhusu usalama wa wasafiri wanaotumia barabara hiyo.…
Mulungunii United na Mulungunii Secondary zatoka sare
By:Hassan Pojjo Mashabiki walioshuhudia mchezo wa kirafiki uliowakutanisha Mulungunii United na Mulungunii Secondary School walishuhudia pambano la ushindani mkubwa lililomalizika kwa sare tasa ya 0-0. Kuanzia kipenga cha kwanza, timu…
Chaani Youth na Mgalla United zatoka sare
By:Hassan Pojjo Mashabiki waliojitokeza katika Uwanja wa Changamwe walishuhudia mchezo wa kusisimua wa kirafiki wa vijana chini ya umri wa miaka 14, ambapo Chaani Youth walitoka sare ya mabao 2-2…
Mwalago anadi sera za maendeleo Msambweni
By:Hassan Pojjo Muwania wa kiti cha Ubunge wa Msambweni kwa tiketi ya Jubilee Party, Omar Mwalago, amesema atatanguliza maslahi ya wananchi kupitia uongozi wa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii…
Kenya yaongoza kwa rekodi mpya ya upandaji mikoko
By:Hassan Pojjo & Alii Vincent Kenya imeweka historia mpya katika juhudi za uhifadhi wa mazingira baada ya kupanda miche ya mikoko 4,124 ndani ya sekunde 15 na kufanikiwa kuvunja Rekodi…
