By:Farida Ali

Mwakilishi wa Wanawake wa Mombasa, Zamzam Mohammed, amewataka vijana wa Pwani kuchukua vitambulisho vya kitaifa na kadi za wapiga kura ili kufikia fursa za maendeleo.
Akizungumza Kisauni wakati wa ugawaji wa Uwezo Fund, Zamzam amewahimiza vijana kutumia fedha hizo kuwekeza katika miradi endelevu.
