International News

Zamani nilisomewa hata ujumbe kutoka kwa mume wangu! Asante WFP

Nilikuwa nikipokea barua naomba mtu anisomee, sasa nasoma mwenyewe, lakini naomba WFP ituendeleze zaidi niweze hata kuandika barua ya kuomba kazi. Ni Espérance Bialogire, mkimbizi aliyenufaika na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP wa kusongesha usawa wa kijinsia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hasa eneo la […]

Zamani nilisomewa hata ujumbe kutoka kwa mume wangu! Asante WFP Read More »

Tunafikisha TEHAMA maeneo ya vijijini

Hivi karibuni hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Anold Kayanda alipata wasaa wa kuzungumza na Gloria Anderson Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shirika la TEDI yaani Tanzania Enlightment and Development Innovation, Shirika lisilo la kiserikali kutoka Tanzania linalojishughulisha na miradi ya maendeleo ya elimu na vijana hasa katika kuboresha mifumo

Tunafikisha TEHAMA maeneo ya vijijini Read More »

RTNC: MONUSCO imetuondoa mtaani, asema mkuu wa RTNC Beni, DRC

Umoja wa Mataifa unaendelea kuunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC katika kukabili habari potofu na za uongo hususan huko mashariki mwa nchi ambako vikundi vilivyojihami vinaendelea kushambulia raia na kupambana na jeshi la serikali. Hivi karibuni Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, umeipatia kituo cha

RTNC: MONUSCO imetuondoa mtaani, asema mkuu wa RTNC Beni, DRC Read More »