By:Farida Ali

Wapwani wametakiwa kujiepusha na kauli za uchochezi na ukabila zinazoweza kuhatarisha amani na umoja wa taifa.
Wito huo umetolewa na Mbunge wa Kisauni, Rashid Bedzimba, ambaye amewataka wananchi kuwa makini na kauli za kisiasa zinazoweza kuleta mgawanyiko katika jamii
